Skip to content
Ufunuo 13:5-6

Ufunuo 13:5-6

5
Huyo mnyama akapewa kusema maneno ya kiburi na kukufuru na kutumia mamlaka yake kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
6
Akafungua kinywa chake ili kumkufuru Mungu, akilitukana Jina lake na mahali aishipo na wale wakaao mbinguni.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options