Zaburi 99:1-4
1
Bwana anatawala, mataifa na yatetemeke; anakalia kiti cha enzi katikati ya makerubi, dunia na itikisike.
2
Bwana ni mkuu katika Sayuni; ametukuzwa juu ya mataifa yote.
3
Wanalisifu jina lako ambalo ni kuu na la kuogopwa: yeye ni mtakatifu!
4
Mfalme ni mwenye nguvu na hupenda haki, wewe umethibitisha adili; katika Yakobo umefanya yaliyo haki na sawa.
Settings