Skip to content
Zaburi 98:2-3

Zaburi 98:2-3

2
Bwana ameufanya wokovu wake ujulikane na amedhihirisha haki yake kwa mataifa.
3
Ameukumbuka upendo wake na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli; miisho yote ya dunia imeuona wokovu wa Mungu wetu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options