Skip to content
Zaburi 95:7-8

Zaburi 95:7-8

7
kwa maana yeye ndiye Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake, kondoo chini ya utunzaji wake. Kama mkiisikia sauti yake leo,
8
msiifanye mioyo yenu migumu kama mlivyofanya kule Meriba, kama mlivyofanya siku ile kule Masa jangwani,
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options