Skip to content
Zaburi 94:1-3

Zaburi 94:1-3

1
Ee Bwana, ulipizaye kisasi, Ee Mungu ulipizaye kisasi, uangaze sasa.
2
Ee Mhukumu wa dunia, inuka, uwalipize wenye kiburi kama wanavyostahili.
3
Hata lini, waovu, Ee Bwana, hata lini waovu watashangilia?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options