Skip to content
Zaburi 94:1

Zaburi 94:1

Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Ee Bwana, ulipizaye kisasi, Ee Mungu ulipizaye kisasi, uangaze sasa.
2
Ee Mhukumu wa dunia, inuka, uwalipize wenye kiburi kama wanavyostahili.
3
Hata lini, waovu, Ee Bwana, hata lini waovu watashangilia?
4
Wanamimina maneno ya kiburi, watenda mabaya wote wamejaa majivuno.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options