Skip to content
Zaburi 9:13-14

Zaburi 9:13-14

13
Ee Bwana, tazama jinsi walivyo wengi adui zangu wanaonitesa! Nihurumie, uniinue kutoka malango ya mauti,
14
ili niweze kutangaza sifa zako katika malango ya Binti Sayuni na huko niushangilie wokovu wako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options