ข้ามไปยังเนื้อหา
Zaburi 88:4-7

Zaburi 88:4-7

4
Nimehesabiwa miongoni mwa wale waendao shimoni, niko kama mtu asiye na nguvu.
5
Nimetengwa pamoja na wafu, kama waliochinjwa walalao kaburini, ambao huwakumbuki tena, ambao wamekatiliwa mbali na uangalizi wako.
6
Umenitupa katika shimo lenye kina kirefu sana, katika vina vya giza nene.
7
Ghadhabu yako imekuwa nzito juu yangu, umenigharikisha kwa mawimbi yako yote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options