Skip to content
Zaburi 82:2-4

Zaburi 82:2-4

2
“Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki na kuonyesha upendeleo kwa waovu?
3
Teteeni wanyonge na yatima, tunzeni haki za maskini na walioonewa.
4
Mwokoeni mnyonge na mhitaji, wakomboeni kutoka mkononi mwa mwovu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options