Skip to content
Zaburi 81:1-2

Zaburi 81:1-2

1
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu. Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu; mpigieni kelele za shangwe Mungu wa Yakobo!
2
Anzeni wimbo, pigeni matari, pigeni kinubi na zeze kwa sauti nzuri.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options