Skip to content
Zaburi 81:1-2

Zaburi 81:1-2

1
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu. Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu; mpigieni kelele za shangwe Mungu wa Yakobo!
2
Anzeni wimbo, pigeni matari, pigeni kinubi na zeze kwa sauti nzuri.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options