Skip to content
Zaburi 79:1-2

Zaburi 79:1-2

1
Zaburi ya Asafu. Ee Mungu, mataifa yameuvamia urithi wako, wamelinajisi Hekalu lako takatifu, wameifanya Yerusalemu kuwa magofu.
2
Wametoa maiti za watumishi kuwa chakula cha ndege wa angani na nyama ya watakatifu wako kwa wanyama wa nchi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options