Skip to content
Zaburi 78:38-39

Zaburi 78:38-39

38
Hata hivyo alikuwa na huruma, alisamehe maovu yao na hakuwaangamiza. Mara kwa mara alizuia hasira yake, wala hakuchochea ghadhabu yake yote.
39
Alikumbuka kwamba wao walikuwa nyama tu, upepo upitao ambao haurudi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options