Skip to content
Zaburi 78:1-4

Zaburi 78:1-4

1
Utenzi wa Asafu. Enyi watu wangu, sikieni mafundisho yangu, sikilizeni maneno ya kinywa changu.
2
Nitafungua kinywa changu kwa mafumbo, nitazungumza mambo yaliyofichika, mambo ya kale:
3
yale ambayo tuliyasikia na kuyajua, yale ambayo baba zetu walituambia.
4
Hatutayaficha kwa watoto wao; tutakiambia kizazi kijacho matendo yastahiliyo sifa ya Bwana, uweza wake, na maajabu aliyoyafanya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options