Skip to content
Zaburi 77:3-4

Zaburi 77:3-4

3
Ee Mungu, nilikukumbuka wewe, nikalia kwa huzuni; nikatafakari, roho yangu ikadhoofika.
4
Ulizuia macho yangu kufumba; nilikuwa nasumbuka, nikashindwa kusema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options