Skip to content
Zaburi 74:10-11

Zaburi 74:10-11

10
Ee Mungu, mtesi atakudhihaki mpaka lini? Je, adui watalitukana jina lako milele?
11
Kwa nini unazuia mkono wako, mkono wako wa kuume? Uutoe kutoka makunjo ya vazi lako na uwaangamize!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options