Skip to content
Zaburi 74:1-2

Zaburi 74:1-2

1
Utenzi wa Asafu. Ee Mungu, mbona umetukataa milele? Mbona hasira yako inatoka moshi juu ya kondoo wa malisho yako?
2
Kumbuka watu uliowanunua zamani, kabila la urithi wako, ambao uliwakomboa: Mlima Sayuni, ambamo uliishi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options