Skip to content
Zaburi 73:12-14

Zaburi 73:12-14

12
Hivi ndivyo walivyo waovu: siku zote hawajali, wanaongezeka katika utajiri.
13
Hakika nimeuweka moyo wangu safi bure, ni bure nimenawa mikono yangu nisiwe na hatia.
14
Mchana kutwa nimetaabika, nimeadhibiwa kila asubuhi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options