Skip to content
Zaburi 73:11-13

Zaburi 73:11-13

11
Wanasema, “Mungu awezaje kujua? Je, Yeye Aliye Juu Sana anayo maarifa?”
12
Hivi ndivyo walivyo waovu: siku zote hawajali, wanaongezeka katika utajiri.
13
Hakika nimeuweka moyo wangu safi bure, ni bure nimenawa mikono yangu nisiwe na hatia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options