Zaburi 72:8-10
8
Atatawala kutoka bahari hadi bahari na kutoka Mto mpaka miisho ya dunia.
9
Makabila ya jangwani watamsujudia, na adui zake wataramba mavumbi.
10
Wafalme wa Tarshishi na wa pwani za mbali watamletea kodi; wafalme wa Sheba na Seba watampa zawadi.