Skip to content
Zaburi 72:10-11

Zaburi 72:10-11

10
Wafalme wa Tarshishi na wa pwani za mbali watamletea kodi; wafalme wa Sheba na Seba watampa zawadi.
11
Wafalme wote watamsujudia na mataifa yote yatamtumikia.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options