Skip to content
Zaburi 70:1-3

Zaburi 70:1-3

1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Maombi. Ee Mungu, ufanye haraka kuniokoa; Ee Bwana, njoo hima unisaidie.
2
Wale wanaotafuta kuuondoa uhai wangu, waaibishwe na kufadhaishwa; wote wanaotamani kuangamizwa kwangu, warudishwe nyuma kwa aibu.
3
Wale waniambiao, “Aha! Aha!” warudi nyuma kwa sababu ya aibu yao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options