Skip to content
Zaburi 69:7-9

Zaburi 69:7-9

7
Kwa maana nimestahimili dharau kwa ajili yako, aibu imefunika uso wangu.
8
Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu, mgeni kwa wana wa mama yangu mwenyewe.
9
Kwa kuwa wivu wa nyumba yako unanila, matukano ya wale wanaokutukana yameniangukia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options