Zaburi 68:32-34
32
Mwimbieni Mungu, enyi falme za dunia, mwimbieni Bwana sifa,
33
mwimbieni sifa yeye apandaye mbingu za kale zilizo juu, yeye angurumaye kwa sauti kuu.
34
Tangazeni uwezo wa Mungu, ambaye fahari yake iko juu ya Israeli, ambaye uwezo wake uko katika anga.