Skip to content
Zaburi 68:28-31

Zaburi 68:28-31

28
Ee Mungu, amuru uwezo wako, Ee Mungu tuonyeshe nguvu zako, kama ulivyofanya hapo awali.
29
Kwa sababu ya Hekalu lako Yerusalemu wafalme watakuletea zawadi.
30
Mkemee mnyama aliyeko kwenye manyasi, kundi la mafahali katikati ya ndama za mataifa. Na walete minara ya madini ya fedha wakinyenyekea. Tawanya mataifa yapendayo vita.
31
Wajumbe watakuja kutoka Misri, Kushi atajisalimisha kwa Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options