Skip to content
Zaburi 59:6-10

Zaburi 59:6-10

6
Hurudi wakati wa jioni, wakibweka kama mbwa, wakiuzurura mji.
7
Tazama yale wanayotema kutoka vinywa vyao, hutema upanga kutoka midomo yao, nao husema, “Ni nani atakayetusikia?”
8
Lakini wewe, Bwana, uwacheke; unayadharau mataifa hayo yote.
9
Ee nguvu yangu, ninakutazama wewe, wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,
10
Mungu wangu unipendaye. Mungu atanitangulia, naye atanifanya niwachekelee wale wanaonisingizia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options