Skip to content
Zaburi 58:1-2

Zaburi 58:1-2

1
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Enyi watawala, je, kweli mwanena kwa haki? Je, mnahukumu kwa unyofu miongoni mwa watu?
2
La, mioyoni mwenu mnatunga udhalimu, na mikono yenu hupima jeuri duniani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options