Skip to content
Zaburi 57:1-3

Zaburi 57:1-3

1
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Baada ya kumponyoka Sauli pangoni. Unihurumie, Ee Mungu, unihurumie, kwa maana nafsi yangu inakukimbilia. Chini ya uvuli wa mbawa zako nitakimbilia mpaka maafa yapite.
2
Namlilia Mungu Aliye Juu Sana, Mungu atimizaye makusudi yake kwangu.
3
Hutumana kutoka mbinguni na kuniokoa, akiwakemea wale wanaonifuatilia vikali; Mungu huutuma upendo wake na uaminifu wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options