Skip to content
Zaburi 56:9-13

Zaburi 56:9-13

9
Ndipo adui zangu watarudi nyuma ninapoita msaada. Kwa hili nitajua kwamba Mungu yuko upande wangu.
10
Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu, katika Bwana, ambaye neno lake ninalisifu,
11
katika Mungu ninatumaini, sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?
12
Ee Mungu, nina nadhiri kwako, nitakutolea wewe sadaka zangu za shukrani.
13
Kwa kuwa umeniokoa toka kwenye mauti na miguu yangu kwenye kujikwaa, ili niweze kuenenda mbele za Mungu katika nuru ya uzima.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options