Rukia maudhui
Zaburi 53:3-4

Zaburi 53:3-4

3
Kila mmoja amegeukia mbali, wameharibika wote pamoja, hakuna atendaye mema. Naam, hakuna hata mmoja!
4
Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza: wale ambao huwala watu wangu kama watu walavyo mkate, hao ambao hawamwiti Mungu?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options