Skip to content
Zaburi 51:1-2

Zaburi 51:1-2

1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Baada ya kukemewa na nabii Nathani kwa kuzini na Bathsheba. Ee Mungu, unihurumie, kwa kadiri ya upendo wako usiokoma, kwa kadiri ya huruma yako kuu, uyafute makosa yangu.
2
Unioshe na uovu wangu wote na unitakase dhambi yangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options