Rukia maudhui
Zaburi 5:9-10

Udanganyifu wa adui

Zaburi 5:9-10
9
Hakuna neno kinywani mwao linaloweza kuaminika, mioyo yao imejaa maangamizi. Koo lao ni kaburi lililo wazi, kwa ndimi zao, wao hunena udanganyifu.
10
Uwatangaze kuwa wenye hatia, Ee Mungu! Hila zao ziwe anguko lao wenyewe. Wafukuzie mbali kwa sababu ya dhambi zao nyingi, kwa kuwa wamekuasi wewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options