Skip to content
Zaburi 48:6-8

Zaburi 48:6-8

6
Kutetemeka kuliwashika huko, maumivu kama ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.
7
Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.
8
Kama tulivyokuwa tumesikia, ndivyo tulivyoona katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote, katika mji wa Mungu wetu: Mungu ataufanya uwe salama milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options