Zaburi 48:4-7
4
Wakati wafalme walipounganisha nguvu, waliposonga mbele pamoja,
5
walimwona nao wakashangaa, wakakimbia kwa hofu.
6
Kutetemeka kuliwashika huko, maumivu kama ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.
7
Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.