Skip to content
Zaburi 48:13-14

Zaburi 48:13-14

13
yatafakarini vyema maboma yake, angalieni ngome zake, ili mpate kusimulia habari zake kwa kizazi kijacho.
14
Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options