Skip to content
Zaburi 46:2-3

Zaburi 46:2-3

2
Kwa hiyo hatutaogopa, hata kama dunia ikiondolewa nayo milima ikiangukia moyoni mwa bahari.
3
Hata kama maji yake yatanguruma na kuumuka, milima nayo ikitetemeka kwa mawimbi yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options