Skip to content
Zaburi 4:7-8

Zaburi 4:7-8

7
Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa kuliko watu waliopata nafaka na divai kwa wingi.
8
Nitajilaza chini na kulala kwa amani, kwa kuwa wewe peke yako, Ee Bwana, waniwezesha kukaa kwa salama.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options