Skip to content
Zaburi 38:19-20

Zaburi 38:19-20

19
Wengi ni wale ambao ni adui zangu hodari, wale wanaonichukia bila sababu ni wengi.
20
Wanaolipa maovu kwa wema wangu hunisingizia ninapofuata lililo jema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options