Skip to content
Zaburi 38:15-20

Zaburi 38:15-20

15
Ee Bwana, ninakungojea wewe, Ee Bwana Mungu wangu, utajibu.
16
Kwa kuwa nilisema, “Usiwaache wafurahie, wala wasijitukuze juu yangu mguu wangu unapoteleza.”
17
Kwa maana ninakaribia kuanguka, na maumivu yangu yananiandama siku zote.
18
Naungama uovu wangu, ninataabishwa na dhambi yangu.
19
Wengi ni wale ambao ni adui zangu hodari, wale wanaonichukia bila sababu ni wengi.
20
Wanaolipa maovu kwa wema wangu hunisingizia ninapofuata lililo jema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options