Skip to content
Zaburi 37:30-31

Zaburi 37:30-31

30
Kinywa cha mwenye haki hutamka hekima, nao ulimi wake huzungumza lililo haki.
31
Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake; nyayo zake hazitelezi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options