Skip to content
Zaburi 36:10-12

Zaburi 36:10-12

10
Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe, haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.
11
Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu, wala mkono wa mwovu usinifukuze.
12
Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka: wametupwa chini, hawawezi kuinuka!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options