Skip to content
Zaburi 35:1-3

Zaburi 35:1-3

1
Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, pingana na wale wanaopingana nami, upigane na hao wanaopigana nami.
2
Chukua ngao na kigao. Inuka unisaidie.
3
Inua mkuki wako na fumo lako dhidi ya hao wanaonifuatia. Iambie nafsi yangu, “Mimi ni wokovu wako.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options