Rukia maudhui
Zaburi 34:8-10

Wito wa Kuonja na Kuona

Zaburi 34:8-10
8
Onjeni mwone kwamba Bwana ni mwema, heri mtu yule anayemkimbilia.
9
Mcheni Bwana enyi watakatifu wake, kwa maana wale wamchao hawapungukiwi na chochote.
10
Wana simba wenye nguvu hutindikiwa na kuona njaa, bali wale wamtafutao Bwana hawatakosa kitu chochote kilicho chema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options