Rukia maudhui
Zaburi 34:4-7

Ushuhuda wa Wokovu wa Mungu

Zaburi 34:4-7
4
Nilimtafuta Bwana naye akanijibu, akaniokoa kwenye hofu zangu zote.
5
Wale wamtazamao hutiwa nuru, nyuso zao hazifunikwi na aibu kamwe.
6
Maskini huyu alimwita Bwana, naye akamsikia, akamwokoa katika taabu zake zote.
7
Malaika wa Bwana hufanya kituo akiwazunguka wale wamchao, naye huwaokoa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options