Skip to content
Zaburi 34:1-4

Zaburi 34:1-4

1
Zaburi ya Daudi, alipojifanya mwendawazimu mbele ya Abimeleki, ambaye alimfukuza, naye akaondoka. Nitamtukuza Bwana nyakati zote, sifa zake zitakuwa midomoni mwangu siku zote.
2
Nafsi yangu itajisifu katika Bwana, walioonewa watasikia na wafurahi.
3
Mtukuzeni Bwana pamoja nami, naam, na tulitukuze jina lake pamoja.
4
Nilimtafuta Bwana naye akanijibu, akaniokoa kwenye hofu zangu zote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options