Skip to content
Zaburi 33:20-22

Zaburi 33:20-22

20
Sisi tunamngojea Bwana kwa matumaini, yeye ni msaada wetu na ngao yetu.
21
Mioyo yetu humshangilia, kwa maana tunalitumainia jina lake takatifu.
22
Upendo wako usio na mwisho ukae juu yetu, Ee Bwana, tunapoliweka tumaini letu kwako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options