4
Nilimtafuta Bwana naye akanijibu, akaniokoa kwenye hofu zangu zote.
5
Wale wamtazamao hutiwa nuru, nyuso zao hazifunikwi na aibu kamwe.
6
Maskini huyu alimwita Bwana, naye akamsikia, akamwokoa katika taabu zake zote.
7
Malaika wa Bwana hufanya kituo akiwazunguka wale wamchao, naye huwaokoa.