Zaburi 34:1-2
1
Zaburi ya Daudi, alipojifanya mwendawazimu mbele ya Abimeleki, ambaye alimfukuza, naye akaondoka. Nitamtukuza Bwana nyakati zote, sifa zake zitakuwa midomoni mwangu siku zote.
2
Nafsi yangu itajisifu katika Bwana, walioonewa watasikia na wafurahi.