Skip to content
Zaburi 33:16-19

Zaburi 33:16-19

16
Hakuna mfalme aokokaye kwa ukubwa wa jeshi lake; hakuna shujaa aokokaye kwa wingi wa nguvu zake.
17
Farasi ni tumaini la bure kwa wokovu, licha ya nguvu zake nyingi, hawezi kuokoa.
18
Lakini macho ya Bwana yako kwa wale wamchao, kwa wale tumaini lao liko katika upendo wake usio na kikomo,
19
ili awaokoe na mauti, na kuwahifadhi wakati wa njaa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options