Zaburi 33:10-12
10
Bwana huzuia mipango ya mataifa, hupinga makusudi ya mataifa.
11
Lakini mipango ya Bwana inasimama imara milele, makusudi ya moyo wake kwa vizazi vyote.
12
Heri taifa ambalo Bwana ni Mungu wao, watu ambao aliwachagua kuwa urithi wake.