Skip to content
Zaburi 33:10-12

Zaburi 33:10-12

10
Bwana huzuia mipango ya mataifa, hupinga makusudi ya mataifa.
11
Lakini mipango ya Bwana inasimama imara milele, makusudi ya moyo wake kwa vizazi vyote.
12
Heri taifa ambalo Bwana ni Mungu wao, watu ambao aliwachagua kuwa urithi wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options