Skip to content
Zaburi 32:3-4

Zaburi 32:3-4

3
Niliponyamaza, mifupa yangu ilichakaa kwa kulia kwa maumivu makali mchana kutwa.
4
Usiku na mchana mkono wako ulinilemea, nguvu zangu zilinyonywa kama vile katika joto la kiangazi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options